BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, July 20, 2011

BREAKING NEEEEEWSSSS.


Habari zilizotufikia hivi punde kutoka kwa mwandishi wetu aliyeko Morogoro ni kuwa basi lililokuwa likisafiri kati ya Mbeya na Arusha limeshika moto eneo la Mikumi na abiria kushindwa kuendelea na safari,basi hilo ni mali ya Hood transport ya Morogoro
Basi likiendelea kuwaka moto

No comments:

Post a Comment