BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, July 11, 2011

YANGA BINGWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI

Hili ndilo kombe la Kagame ambalo Yanga wamelinyakua
Wachezaji wa Yanga wakiwa na furaha mara baada ya kukabidhiwa kombe hilo

Mshambuliaji wa Yanga Khamis Kiiza akijaribu kumtoka mlinzi wa Simba Said Nassor (Cholo) kwenye uwanja wa Taifa Yanga walishinda 1-0
Makocha wa Yanga na Simba wakisalimiana kabla ya mchezo kuanza Sam Timbe na Moses Basena (kulia) wa Simba

No comments:

Post a Comment