BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, July 20, 2011

MRISHO NGASA AKIWA MAZOEZINI MAREKANI


Mshambuliaji maarufu wa Taifa stars na Azam fc,akiwa kwenye mazoezi na wenzake kwa ajili ya kuwakabili mabingwa EPL timu ya Manchester United ya Uingereza,Ngassa aliyeonyesha uwezo mkubwa akiwa na Yanga SC misimu iliyopita na hivyo kuwavutia Azam na kumchukua kwa dau kubwa,kwa sasa anafanya majaribio kwenye klabu ya Seattle Sounders ya Marekani na anaendelea vizuri.

No comments:

Post a Comment