BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, July 21, 2011

MKUU WA MKOA WA MBEYA AKUTANA NA MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA

Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh. John Mwakipesile akifafanua jambo kuhusu kuongezeka siku za kukagua na kusimamia magari kwenye mizani iliyoko Mpemba-Tunduma-Picha kwa hisani ya Mbeya Yetu

Kamanda wa polisi wilaya ya Mbozi,afande Ernest Dudu nae alizungumzia utaratibu wa askari wa usalama barabarani kukagua magari hayo eneo la mizani

No comments:

Post a Comment