BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, July 24, 2011

MAZISHI YA MZEE GILBERT MWAKIFULEFULE YAFANYIKA LEO IPINDA KYELA


Mazishi ya mzee Gilbert Mwakifulefule yamefanyika leo kijijini Ngolela,Ipinda-Kyela,askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la Moravian amewataka waumini na waombolezaji kutengeneza maisha yao ya baadaye na upendo-

Wakina mama wakiwa kwenye majonzi

No comments:

Post a Comment