BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, July 27, 2011

MAPOROMOKO YA MAJI IBUNGILA TUKUYU YATUMIKA VIZURI


Maporomoko ya maji eneo la Ibungila Tukuyu yametumiwa vizuri na kuweza kuzalisha umeme kwenye shule ya sekondari Ibungila na maeneo jirani.



Mdau wetu alipotembelea eneo la maporomoko hayo

Hii ndio mashine ya kufua umeme Ibungila

No comments:

Post a Comment