BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, July 04, 2011

DAVID HAYE ALAMBA SAKAFU UJERUMANI

Bondia David Haye wa Uingereza jana alipokea kichapo kutoka kwa Vladimir Klitschko wa Ukraine kwenye pambano la kuwania wa WBC ambao ulikuwa ukishikiliwa na Haye,pambano hilo la raundi 12 liliamuliwa kwa pointi,lakini muda mwingi wa pambano Haye alionekana kuzidiwa na kuanguka mara kadhaa na kuendelea na pambano mpaka mwisho
Vladimir Klitschko akipongezwa na kaka yake Vital klitschko mara baada kupata ushindi dhidi ya David Haye na sasa anashikilia mataji matatu ya WBC,WBA na WBO

No comments:

Post a Comment