BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, July 27, 2011

MIKOA YENYE CHAKULA WATUMIE KWA UHANGALIFU

Hapa ni eneo la Kiwira Tukuyu Mbeya,ni eneo maarufu kwa uhuzaji wa ndizi,mananasi,magimbi nk.wanunuzi  wakubwa ni wasafiri waendao nchi jirani,nje ya mkoa na hata wilaya jirani,kutokana na tamaa ya fedha baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakiuza mpaka ndizi ambazo muda wake bado,pia tunawashauri kuwa waangalifu na uhuzaji holela wa vyakula kutokana na upungufu uliojitokeza kwenye baadhi ya mikoa na nchi jirani

No comments:

Post a Comment