BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, July 12, 2011

LADY JAY DEE NA YANGA KESHO NYUMBANI LOUNGE.


Mwanamuziki maarufu ukanda huu wa afrika mashariki na kati,Judith Wambura (lady jay dee) amewaandalia chakula mabingwa wa Kombe la Kagame Castle Cup,timu ya Yanga chakula cha mchana kwenye mgahawa wake maarufu wa NYUMBANI LOUNGE kwa ajili ya kuwapongeza kwa kutwaa ubingwa,inasemekana mwanamuziki ni mnazi wa wanajangwani hao

No comments:

Post a Comment