BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, July 05, 2011

DEREVA JOHN GWAU AFANYIWA UNYAMA NA SHEMEJI YAKE SINGIDA MJINI


John Gwau akiwa wodi No.4 kwenye hospital ya mkoa Singida,baada ya kupigwa na chupa ya bia na shemeji yake Celestin Mgoo kwa tuhuma za kufuliwa nguo na dada yake aitwaye Ruth ambaye ametengana na Celestin,dada huyo ni mwalimu wa shule ya msingi Mughanga iliyoko mjini Singida,bwana Celestin aliingia chumbani kwa shemeji na kumpiga na chupa kichwani,baada ya kuzirai kama vile haitoshi alitumia vipande vya chupa kumchanja chanja usoni,mtuhumiwa leo amefikishwa mahakamani.

No comments:

Post a Comment