BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, July 09, 2011

MHESHIMIWA SUGU ASHIKILIWA NA POLISI MBEYA

Mh.mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbillinyi jana alishikiliwa kwa muda na jeshi la polisi kwa kufanya mkutano eneo la Nzovwe bila kibali cha jeshi hilo,Mbillinyi ni mbunge wa Mbeya mjini kupitia Chadema.
Mkuu wa jeshi la polisi mkoa wa Mbeya bw. Advocate Nyombi akisisitiza juu ya umuhimu wa amani na watu kufuata sheria

No comments:

Post a Comment