BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, July 21, 2011

WATU WANNE WAPOTEZA MAISHA AJALI YA BASI

Haya ndio mabaki ya basi la Hood lililopata ajali jana  na hatimaye kuungua baada ya kugongana na lori lililokuwa limepakia mafuta ya kula
Lori la mafuta likiteketea kwa moto eneo la Mikumi baada ya kugongana na Hood

No comments:

Post a Comment