BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, July 29, 2011

TUNDU LISSU,PETER MSIGWA NA GODBLESS LEMA WAFUKUZWA BUNGENI

Askari polisi wa bunge wakihakikisha gari lililowabeba wabunge wa CHADEMA Tundu Lissu ,Peter Msigwa na Godbless Lema linaondoka nje ya viwanja vya bunge mara baada ya naibu spika wa bunge Job Ndugai kuwaamuru watoke ndani ya bunge kutkana na kukiuka kanuni za bunge

No comments:

Post a Comment