BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, July 08, 2011

SIMBA YAINGIA FAINALI KAGAME CUP

Timu ya Simba jana imefanikiwa kuingia fainali ya kombe la Kagame baada ya kuiondoa timu ya El-mereikh ya Sudan kwa mikwaju ya penati 5-4,hadi dakika 90 matokeo yalikuwa 1-1 na kuongezwa dakika 30 na matokeo kuwa hivyohivyo na mshindi kupatikana kwa njia ya penati,nusu fainali nyingine itakuwa leo jioni kati ya Yanga na St.George na mshindi wa leo ataungana na Simba kwenye mchezo wa fainali jumapili.

No comments:

Post a Comment