BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, July 30, 2011

SUPER FEO YAPATA AJALI MBEYA

Basi la kampuni ya Super Feo limepata ajali la eneo Chimala Mbeya jana mchana na kusababisha vifo vya watu watatu na wengine kujeruhiwa,nilizungumza na mmoja wa majeruhi bw.Jackson Ndaskoy aliyekuwa akitokea Songea,alisema sababu ya ajali ni dereva kutokuwa makini bw.Ndaskoy ameruhusiwa kutoka hospilini mchana huu wa leo

No comments:

Post a Comment