BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, July 12, 2011

DIEGO MARADONA APATA AJALI YA GARI


Diego Amando Maradona amepata ajali ya gari akiwa na rafiki yake wa muda mrefu Veronica,ajali hiyo ilitokea kilomita chache alipokuwa akitokea nyumbani kwake kwenda uwanjani kutazama mechi za Coper America zinazoendelea nchini Argentina ambako michuano hiyo inafanyika,mara baada ya ajali alipelekwa hospital na hali yake inaendelea vizuri.

No comments:

Post a Comment