Mmoja wa majeruhi akipata huduma ya kwanza |
Hili ni eneo la Tahrir jijini Cairo ambalo linaonekana kuwa na vurugu zaidi
Mmoja wa majeruhi akipata huduma ya kwanza |
Askari wa jeshi la polisi wakijaribu kutuliza ghasia maeneo ya tukio jijini Mbeya |
Gari likiwa limebinuliwa na waandamanaji na kufunga barabara kuu ya Dar-Tunduma eneo la Kabwe |
Matairi chakavu yakiwa yamechomwa katikati ya barabara na kuleta taabu kwa wasafiri na moshi mzito kusambaa eneo la Kabwe (Picha kwa hisani ya Mwaisango) |
Moto ukiendelea kuteketeza soko hilo |
Baadhi ya wananchi wakishuhudia ajali hiyo ya moto |
Baadhi ya wafanyabiashara wakijaribu kuokoa bidhaa zao |
Mama Sichela akiwaongoza wenzake kufurahia msaada huo |
Askari wa vikosi mbalimbali wanashiriki katika uokoaji wa abiria na hapa wanaonekana wakiwa wamembeba bi.Mariam Mohamed Murad kutoka Tanga aliyenusurika kwenye ajali hiyo ya meli |