Baadhi ya wananchi wakipita kutambua miili ya watu waliopoteza maisha kufuatia ajali ya meli huko Nungwi Zanzibar.
Askari wa vikosi mbalimbali wanashiriki katika uokoaji wa abiria na hapa wanaonekana wakiwa wamembeba bi.Mariam Mohamed Murad kutoka Tanga aliyenusurika kwenye ajali hiyo ya meli |
Wachezaji wa Taifa stars Amir Maftah,Mbwana Samata na Dan Mruanda wakishangilia mara baada ya kujipatia bao la kuongoza dhidi ya Algeria |
Huu ndio mto unayozitenganisha nchi hizi mbili |
Baadhi ya magari ya mizigo yakisubiri kupita mpakani | <><>Eneo la Malawi likiwa linafanyiwa ukarabati
Jengo likiwa limezungukwa na nyasi pande zote |